Thursday, June 28, 2007

Buriani Amina Chifupa


Hivi ndivyo baadhi ya waliomfahamu Amina Chifupa walivyoandika juu yake. Alipigwa picha hii siku alikuwa anakula kiapo Bungeni, Desemba 2005.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'