Sunday, September 14, 2008

Njiani kuelekea nyumbani


Hapa ni Brenda Zulu, Timothy Kasolo (Zambia) na mimi, tukiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oliver Tambo, Johannesburg, Afrika Kusini, njiani kuelekea makwetu baada ya mkutano wa Highway Africa. 13.09.2008

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'