Friday, January 23, 2009

Obama: Public service is a privilege

Nakubaliana na msimamo huu kwa asilimia 100. Naamini na viongozi wetu wamejifunza kitu hapa, na kitawasaidia kurejea katika misingi. Hili nalo ni suala nyeti, swali gumu.

1 comment:

Anonymous said...

Ngurumo, soma maoni yetu kwenye stori yako gazetini. ni mengi tu.

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'