
Ni Mbunge wa Kishapu, Fred Mpendazoe, ambaye amevijua uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kwa mantiki hiyo, kujivua ubunge. Ameandika historia. Na habari zinasema kuwa vigogo wengine wanajiandaa kumfuata. Tusubiri tuone.
Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...