Katika picha hii, nafafanua jambo kwa mgeni wangu Anni Lyngskaer, raia wa Denmark aliyenitembelea ofisini kwangu, kujadili utendaji wa vyombo vya habari nchini. (Picha kwa hisani ya Francis Dande Machi 17, 2010)
Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...

- Ansbert Ngurumo
- Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'