Monday, March 15, 2010

Wakaukosa mpira, wakatwangana wenyewe

Watatu wanamkaba mmoja kwa kuwa alikuwa anatisha! Mshambuliaji mahiri wa Salehe Mohammed wa Free Media FC (mwenye njano) akikabiliana na mabeki wa Mwananchi FC. 13.03.2010, Uwanja wa Sigara, Dsm.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'