Mnamzungumzia Drogba? Wapo wengine, hata kama hawavumi! Siku zinasogea, lakini stamina haijapotea kabisa. Anza na hiyo. Nyingine zitafuata za Machi 13, 2010 (Free Media vs Mwananchi). Tulifungana idadi hii ya magoli. Wengine tuliacha vipande vya miguu uwanjani.
Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...
Monday, March 15, 2010

- Ansbert Ngurumo
- Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'