Monday, March 15, 2010

Hata kabumbu twasakata


Mnamzungumzia Drogba? Wapo wengine, hata kama hawavumi! Siku zinasogea, lakini stamina haijapotea kabisa. Anza na hiyo. Nyingine zitafuata za Machi 13, 2010 (Free Media vs Mwananchi). Tulifungana idadi hii ya magoli. Wengine tuliacha vipande vya miguu uwanjani.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'