Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...
Wednesday, March 31, 2010
Kigogo wa kwanza CCM ajiunga CCJ
Ni Mbunge wa Kishapu, Fred Mpendazoe, ambaye amevijua uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kwa mantiki hiyo, kujivua ubunge. Ameandika historia. Na habari zinasema kuwa vigogo wengine wanajiandaa kumfuata. Tusubiri tuone.
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'