
Mtu mmoja ameandika katika tovuti ya BBC, akizungumzia timu za Italia na Ufaransa, na kulinganisha nguvu ya timu hizo katika fainali mbili. Anasema:"Inashangaza kidogo kwamba katika fainali za 2006, Italia na Ufaransa walikutana uwanjani katika mechi ya mwisho ya fainali; katika fainali za mwaka 2010, timu hizo hizo zimekutana uwanja wa ndege" (wakiwa safarini kurejea makwao baada ya wote wawili kutolewa katika hatua ya awali).
No comments:
Post a Comment