Thursday, June 03, 2010

Ziro ya Sumaye na Ombwe la Kikwete, kipi bora?

SOMA mjadala mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu 2010. Usikose pia kusoma ONYO hili kwa Watanzania. Linakuhusu. Katika kuendeleza mjadala, Mtanzania mwingine amemtaka Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, aokoe jahazi. Kwa vipi? Soma HAPA.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'