
Wote ni wazee. Wanazidiana mwaka mmoja tu. (85-84). Mmoja ni Mkomunisti. Mwingine ni Mkristo Mkatoliki. Mmoja amewahi kuwa rais wa Cuba. Mwingine sasa ni rais wa Vatican City. Baada ya Castro kufuatilia ziara ya Papa Benedict XVI kwenye runinga tangu alipotua nchini humo siku tatu zilizopita, alipopata fursa ya kukutana naye ana kwa ana, akamuuliza: "Hivi kazi ya Papa ni nini?" SOMA HAPA uone majibu ya Papa.
No comments:
Post a Comment