
Wameksiko jana waliadhimisha mwaka wa kwanza wa Harakati za kulinda Amani kwa Haki na Utu, mjini Cuernavaca. Maandamano, machozi, ngoma na ibada ni baadhi ya mapambo ya maadhimisho hayo. Dada huyu naye alikuwa kikolezo cha maadhimisho. Waweza kujisomea zaidi habari hizo kwa Kiingereza katika tovuti ya narconews. Mama huyu aliimba kwa hisia. Na kasisi huyu alisali kwa hisia pia, ingawa kusema kweli sikuwa naelewa alichosema. Lugha gongana!
No comments:
Post a Comment