Thursday, July 19, 2012

M4C yavuna mamia Chato kwa Magufuli

Mmoja wa mavuno mapya ya M4C ni Dk. Benedict Lukanima, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe. Ndiye aliyenipokea na kunionyesha mazingira katika Chuo Kikuu cha Hull, Uingereza; wakati huo akiwa katika mwaka wa pili wa Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Uchumi.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'