Wednesday, July 18, 2012

Nukuu ya Sugu Bungeni

"Natuma salamu kwa Kova kwamba ile filamu yake ya Dk Ulimboka, Mchungaji, na Mkenya, wananchi hawajaielewa; hivyo ni vema arudi Studio ili afanye remix!" Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema)


No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'