Saturday, July 07, 2012

Libya wachagua rais mpya

Wananchi wa  Libya leo wamejitokeza kwa wingi kupiga kura kuchagua rais, katika uchaguzi huru baada ya miaka 60 ya udikteta. Habari zaidi soma hapa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'