Sunday, July 24, 2005

Tusipojipenda, nani atatupenda?

Je, nawe u miongoni mwa Watanzania wanaoona aibu kujitambulisha wanapokuwa nje ya nchi? Unaogopa kuzungumza Kiswahili? Unapungukiwa nini? Hebu pata mawili matatu kutoka kwa mwanaharakati Jeff Msangi aishiye Kanada, kama alivyoandika katika safu yake ya WARAKA KUTOKA KANADA kwenye gazeti la Tanzania Daima Jumapili, Julai 24, 2005, uk. wa 13. Bofya hapa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'