Sunday, July 24, 2005

Waijua Mikoba ya Baba na Mama Mkapa Ikulu ?

Rais Benjamin Mkapa na Mkewe, Anna, wanakaribia kuondoka Ikulu baada ya miaka 10. Inavyoonekana, wapenzi hawa wawili wameamua kuandika historia na kutengeneza mafao yao ya kustaafu kwa kuanzisha mifuko. Baadhi ya Watanzania wanaiita Mikoba ya Baba na Mama Ikulu. Wanasemaje? Pata uhondo.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'