Monday, July 04, 2005

Wabunge wamekacha vikao wasiifunde serikali

Na Nikita Naikata

SITAKI kuona Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania likiwa tupu. Wabunge hawamo. Waliomo ni wa kuokoteza.
“Nikae pale ili iweje? Wenzangu wananichafulia jimboni. Nikikaa hapa ina maana nimekata tamaa na sitaki kuingia katika ushindani,” amesema mbunge mmoja aliyekuwa akipanda ndege kwenda mkoani kwake. Habari kamili soma hapa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'