Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...
Monday, November 06, 2006
Kifo cha Saddam Hussein
Hajafa, lakini mazingira yanaonyesha kuwa atakufa. Unasemaje kuhusu hukumu dhidi yake? Soma maoni ya "dunia," sifa zake na historia yake.
Inawezekana hayo yote Saddam aliyafanya. Au tuseme tu aliyafanya kama hukumu aliyopewa inavyoeleza. Lakini kwa vyovyote vile, mimi siamini kuwa hali ilikuwa mabaya nchini Iraq wakati wa utawala wake, kama ilivyo mbaya sasa wakati wa utawala wa 'Bush'. Hivyo, kwa maoni yangu, aliyeharibu hali ya Iraq na kusababisha mauaji ya maelfu ya watu wa nchi hiyo, askari wa US na UK, uharibifu wa miundombinu na kupoteza amani ya watu wa Iraq, anastahili adhabu ya kifo mara mbili.-RSM-
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'
1 comment:
Inawezekana hayo yote Saddam aliyafanya. Au tuseme tu aliyafanya kama hukumu aliyopewa inavyoeleza. Lakini kwa vyovyote vile, mimi siamini kuwa hali ilikuwa mabaya nchini Iraq wakati wa utawala wake, kama ilivyo mbaya sasa wakati wa utawala wa 'Bush'. Hivyo, kwa maoni yangu, aliyeharibu hali ya Iraq na kusababisha mauaji ya maelfu ya watu wa nchi hiyo, askari wa US na UK, uharibifu wa miundombinu na kupoteza amani ya watu wa Iraq, anastahili adhabu ya kifo mara mbili.-RSM-
Post a Comment