Thursday, November 02, 2006

Anaharibu hapa anahamishiwa pale

Kuna sababu za msingi za serikali yetu kuwalinda maofisa wanaofuja pesa zetu kwa kuwahamisha badala ya kuwachukulia hatua? Soma hapa kwanza, halafu utoe maoni.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'