
HII ni sehemu tu ya upungufu wa katiba ya nchi yetu ambayo tunaendelea kusisitiza kuwa iandikwe upya ili iendane na matakwa ya sasa. Kwa nini tulazimishane kuongozana kwa matakwa ya miaka 50 iliyopita? Kwa nini hatuoni kwamba na kizazi hiki kina mchango wake katika kukua kwa taifa?
No comments:
Post a Comment