Thursday, June 18, 2009

Hukumu muhimu kwa wanablogu: Kublogu na siri haviendani

Kama ulitaka kublogu na kutunza siri, fikiri upya. Hukumu hii inawanyanganya wanablogu haki ya kuwa na siri kwa sababu kazi yao si yao binafsi bali ya jamii. Soma hapa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'