- Ansbert Ngurumo
- Maisha yangu yamezungukwa na kuchongwa na Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo; siogopi wala kupendelea au kubagua binadamu yeyote. Tatizo langu: sivumilii ujinga na sina utii wa kikondoo kwa wenye mamlaka. Kuhoji na kudadisi ni sehemu ya maisha yangu itokanayo na hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'