Thursday, June 04, 2009

Obama awaahidi Waislamu 'mwanzo mpya'


Kama hukuweza kusikiliza hotuba ya Rais Barack Obama, jijini Cairo, Misri, kuhusu 'mwanzo mpya' kati ya Marekani na Waislamu duniani kote, bonyeza hapa usikilize alichosema. Hata kama ulimsikia, unaweza kurudia kuisikiliza hotuba nzima, ukajikumbusha kile alichoita changamoto sita zinazoikabili dunia kwa sasa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'