Monday, July 04, 2005

Iko wapi orodha ya wateule wa Nyerere kuwa marais?

Na Evelyn Kashoka

MOJA ya sababu za watawala kugeuka madikiteta duniani ni kushindwa kuwajibika. Ni kushindwa kutoa kile ambacho walitarajiwa kuleta na hata kushindwa kutoa majibu kwa maswali mengi ya wale ambao wanawatawala.
Makala iliyochapishwa na gazeti la Tanzania Daima, ukurasa wa 14 wa Toleo la Jumapili, 26 Juni 2005, yenye kichwa kisemacho “Walioshindwa kumsema Nyerere akiwa hai wakae kimya,” ilikuwa na sura zote za kidikiteta.
Inasema hivi: “Kama (watu) walishindwa kumsema Nyerere akiwa hai, sasa wakae kimya!” Amri hii ina maana ya kutunyamazisha. Kama walivyo madikiteta, mwandishi hana uvumilivu; ni mwoga wa hoja kinzani, kachoka na inavyoonekana, kaishiwa hoja.
Habari zaidi soma hapa.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'