Sunday, February 04, 2007

Huu ni ushindi wa wadau?

NAONA serikali imetambua uchafu wa muswada wa uhuru wa habari unaopingwa na wadau wengi nchini. Imeamua kurudi kwa wadau. Ngoja tusubiri staili mpya ya serikali ya kuwatambua, kuwapata wadau hao, na kuwasikiliza. Soma stori hii.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'