Sunday, February 11, 2007

Tunaelekea kujifananisha na Nduli Idi Amin

VINGOZI wetu wameanza pole pole kwenda mwendo wa ki-Amin Amin. Tunawaeleza, hawasikii. Au wanasikia lakini ndiyo hulka yao? Ona sasa tunaanza kuwafananisha na Amin.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'