Tuesday, October 24, 2006

Bilioni za kichumi au kisiasa?

Unasemaje kuhusu bilioni moja za Kikwete kila mkoa? Kumbuka huyu ni mchumi na mwanasiasa. Katika uamuzi huu anafanya uchumi au siasa? Toa maoni. Wenzako wameshaanza.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'