Tuesday, October 24, 2006

CCM ukwasi mtupu, watumishi njaa kali


Posho za wakubwa ni mara 300 ya mishahara ya watumishi. Kama wakubwa wameshiba na wadogo wanalia njaa, kuna lolote litakalofanyika? SOMA hapa uone adha za watumishi waaminifu wa CCM, na majibu ya wakubwa wao kuhusu hatima yao. Madereva wa chama nao waja juu. Nadhani wanajiuliza. Bosi wao Yusuf Makamba, anapata manono katika mshahara wa Ubunge, Ukatibu Mkuu wa CCM na masurufu ya safari anayojilipa. PATA uhondo.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'