Monday, October 23, 2006

Uhamisho dhidi ya mabadiliko ya mawaziri

Tuulizane: Ni mabadiliko ya Baraza la Mawaziri au uhamisho. Wadau wanasemaje? Imalizie kwa kusoma hapa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'