Usitazame glasi. Mtazame huyo anayekutazama, mwenye glasi. Unaweza kumtambua katika picha ya pili? Hiyo ilikuwa Novemba 11, 2006 baada ya mkutano na mafunzo ya uandishi wa habari za sayansi ulioandaliwa na kudhaminiwa na Shirikisho la Waandishi wa Habari za Sayansi duniani (WFSJ), 4-10 Novemba, 2006 Nairobi, Kenya. Nilirejea UK kesho yake. Washiriki wengine, katika matukio tofauti, wapo hapo chini. Picha kwa hisani ya WFSJ.Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...
Saturday, February 17, 2007
Sijanuna; natafakari
Usitazame glasi. Mtazame huyo anayekutazama, mwenye glasi. Unaweza kumtambua katika picha ya pili? Hiyo ilikuwa Novemba 11, 2006 baada ya mkutano na mafunzo ya uandishi wa habari za sayansi ulioandaliwa na kudhaminiwa na Shirikisho la Waandishi wa Habari za Sayansi duniani (WFSJ), 4-10 Novemba, 2006 Nairobi, Kenya. Nilirejea UK kesho yake. Washiriki wengine, katika matukio tofauti, wapo hapo chini. Picha kwa hisani ya WFSJ.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Ansbert Ngurumo
- Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'


2 comments:
Huna lolote unajifanya mjuaji msomi mchambuzi kila mtu taahira!Wenye akili ni wewe na Mbowe kila mtu kwako mjing wewe tu mwenye uzalendo huna lolote kiburi kinakusumbua, hata blog yako haina hata wachangiaji anaglia blog za michuzi mjengwa nk yote kwa sababu ya kibri chako
Picha tu inaonyesha ni jinsi gani huyu ngurumo anavyo ringa na majivuno,watu wengine wa ajabu kweli
Post a Comment