Wednesday, July 02, 2008

McCain ampiku Mbowe

Wale waliokuwa wanashangaa Chopa ya Mbowe, sasa wamepata nyongeza. Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican, John McCain, wa Marekani, ameingiza mashine ya kampeni isiyo ya kawaida. Hatulinganishi nchi wala vyama, bali mbinu na vifaa.

2 comments:

Anonymous said...

Haya mkubwa tumeona magruzi juu ya magezui

Anonymous said...

Kazi ipo!

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'