Tuesday, July 15, 2008

Siasa na teknolojia; tunaweza kuongopa?

Usicheze na zama hizi za teknolojia. Tazama na sikiliza wanamuziki wanavyoimba kipande cha hotuba ya Barack Obama, na kusisitiza kauli mbiu yake ya Yes We Can. Na hapa John McCain akijikanyaga kanyaga kwa kukana na kupinga kauli zake mwenyewe. Na hapa Hillary Clinton na Obama katika igizo la Tunaweza-Hatuwezi. Ndivyo wanasiasa walivyo vigeugeu wa kauli zao.

Katika video hii hapa, Obama na Clinton wanatwangana ulingoni, lakini hatimaye mshindi anapatikana. Mnamjua! Ifurahie na hii hapa ya Obama Girl.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'