Monday, July 14, 2008

Ole wenu CHADEMA

Mgogoro wa uongozi katika CHADEMA unaleta kumbukumbu na hisia mbaya. Lazima viongozi wajifunze kutokana migogoro iliyotangulia, na wachukue hatua sasa. Maoni yangu ya kwanza kwao, ni haya hapa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'