Monday, March 09, 2009

Watawala wetu mitumba ya kisiasa?

Ni vema TANESCO imejitoa katika biashara chafu ya ununuzi wa genereta mitumba za Dowans. Lakini king'ang'anizi cha serikali kufanya biashara ya mitumba hii, na kauli ya kukata tamaa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO Dk. Idris Rashid baada ya wabunge kumjia juu, vinaweza kupata tafsiri nyingi tata kama wanavyosema wananchi. Mi najiuliza: Wenzetu hawa wanang'ang'ania mitumba kwa sababu wamezoea siasa za mitumba, nao ni wanasiasa mitumba?

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'