Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...
Friday, October 22, 2010
Dk Slaa 'afanya kufuru' Mwanza
Hii ni sehemu tu ya umati wa wananchi wa Mwanza mjini waliofurika katika uwanja wa Magomeni, Kirumba, kumsikiliza Dk Willibrod Slaa juzi Jumatano jioni.
1 comment:
Stella
said...
'TUNAKUKUBALI BABA, SONGA MBELE UTULETEE MAENDELEO' Nina hakika umati wote huu ulifurika kumhakikishia Dr. Slaa kuwa wanamkubali.
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'
1 comment:
'TUNAKUKUBALI BABA, SONGA MBELE UTULETEE MAENDELEO' Nina hakika umati wote huu ulifurika kumhakikishia Dr. Slaa kuwa wanamkubali.
Post a Comment