Picha ya kuchora inayomwonyesha pamoja Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Dk Willibrod Slaa, iliyochorwa na Kasambara Joseph na Salim Ahamed. Dk Slaa alikabidhiwa picha hiyo katika mkutano wake wa kufunga kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe jijini Mbeya, jana 31/10/2010
Pichani, Goodluck Haule, aliyekuwa mwanachama wa CCM, akimkabidhi Dk Slaa moja ya mavazi ya CCM baada ya kukihama na kujiunga na Chadema jana mjini Mbeya.
Wafuasi na wanachama wa CHADEMA wakiwa wamebeba bango lenye ujumbe wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za Dk Willibrod Slaa uliofanyika kwenye Uwanja wa Ruandanzovwe jijini Mbeya 30/10/2010
No comments:
Post a Comment