
Hana kawaida y akupokea kadi za wana CCM wanaohamia Chadema, lakini naona hapa ameamua kuvunja mwiko. Katika picha hii, Dk Slaa amesimama na Amani Mollel ambaye ni mgombea ubunge wa Monduli kupitia Chadema, wakizichambua kadi za wana CCM 46 wa Monduli waliojiunga na Chadema kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Bomani Polisi, Monduli mjini, mkoani Arusha.

Dk Willibrod Slaa akimpongeza mmoja wa kati ya vijana 46 wa kimasai wa Jimbo la Monduli waliojiunga na chama hicho wakitikea CCM, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Monduli, mkoani Arusha

Dk Willibrod Slaa akiwahutubia wakazi wa Monduli mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo Ijumaa asubuhi kwenye Uwanja wa Bomani Polisi mjini humo mkoani Arusha
No comments:
Post a Comment