Wednesday, June 04, 2008

Barack Obama: This is Our Moment


Msikilize Barack Obama hapa au hapa akihutubia mashabiki wake siku ya mwisho ya kampeni za awali, siku ambapo aliibuka mshindi na mgombea urais wa chama cha Democratic dhidi ya Hillary Rodham Clinton. Obama anasema huu ndio wakati wa Wamarekani kuleta mabadiliko wanayokusudia. Msikie Obama hapa katika mojawapo ya mahojiano aliyofanya kabla ya kukamilisha ushindi wake.

1 comment:

Anonymous said...

Hongera Obama

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'