Sunday, June 22, 2008

Raila "aongoza" watawala Afrika

Tatizo la Afrika ni kukosa viongozi wenye mitazamo ya kisasa. Waliopo sasa wamefungwa kwenye minyororo ya "ukale" wanaoendelea kuung'ang'ania. Lakini waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, anawataka watawala wa Afrika wachukue visu, wakate minyororo hii. Msikilize katika video hii. Amekuwa wa kwanza kumkaripia Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, na anataka viongozi wa Afrika waamke na kumkabili Mugabe, ili kudhibiti ukatili anaouendeleza dhidi ya watu wake.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'