Saturday, June 07, 2008

Clinton ampigia debe Obama


Seneta Hillary Clinton (pichani kushoto) amekubali rasmi kushindwa, amehitimisha kampeni zake na kumuunga mkono mshindi, Seneta Barack Obama, katika kinyang'anyiro cha urais wa Marekani mwaka huu kupitia chama ha Democratic. Sikiliza sehemu ya hotuba ya Hillary ya kumkubali Obama. Hotuba nzima ya Clinton hii hapa. Barack atachuana na Seneta John McCain katika uchaguzi mkuu Novemba 2008. Kundi la wagombea waliopambana na Obama katika chama chao, ambao amewashinda, ni hawa hapa.

1 comment:

Anonymous said...

Asante Ngurumo kwa mkusanyo mzuri.

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'