Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...
Friday, August 06, 2010
Michelle Obama kanogewa Ikulu?
Michelle Obama ameanza kunogewa manono ya Ikulu? Soma HAPA uone jinsi vyombo vya habari vinavyoanza kummulika na kumjadili.
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'
No comments:
Post a Comment