Wednesday, August 11, 2010

Pweza afanya vitu vyake


Wabunifu wameshaanza kufanya vitu vyao kuelekea Uchaguzi Mkuu. Eti na pweza ameshatabiri!

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'