Tuesday, August 03, 2010

Dk. Slaa aiteka Mbeya




Picha hizi mbili zinaonyesha sehemu tu ya umati wa wakazi wa Mbeya mjini uliompokea Dk.Willibrod Slaa kumdhamini ili agombee urais 2010 kupitia Chadema (03/08/2010)

2 comments:

Anonymous said...

Mark my words, Kikwete by anyhow hawezi kupata mapokezi kama haya Mbeya neva and neva. Go Dr. Slaaaaa!

Anonymous said...

Mark my words, Kikwete by anyhow hawezi kupata mapokezi kama haya Mbeya neva and neva. Go Dr. Slaaaaa!

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'