
Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...
Sunday, September 09, 2007
Kutoka Grahamstown

Subscribe to:
Post Comments (Atom)

- Ansbert Ngurumo
- Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'
1 comment:
Nilidhani makali yako ni katika kuandika tu, kumbe hata haya unayaweza? Hongera mkuu! lakini, nisisahau..wewe si ulijifunzia kuhubiri? sawa hapa ndipo pake.
Post a Comment