Sunday, September 02, 2007

Mresha katika Chopa ya Mbowe


Mheshimiwa Mrema ameshuka kwenye Chopa, ilipotua katika uwanja wa Mirongo, Mwanza.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'