Tuesday, September 11, 2007

Mtazame Ndesanjo akitoa mhadhara


Hii ilikuwa tarehe 9.9.2007 katika Ukumbi wa Barrat, Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini. Ndesanjo Macha (pichani kushoto) alikuwa anatoa hotuba ya ufunguzi wa mdahalo kuhusu kublogu katika kongamano lijulikanalo kama Digital Citizen Indaba, lililofanyika kwa siku moja kama sehemu ya kongamano mama la Highway Africa, 10-12, Septemba 2007. Kongamano hili hujadili matumizi ya ubunifu katika vyombo vya kisasa vya habari. Hii ilikuwa mara ya 11 kwa kongamano hilo.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'