Sunday, September 02, 2007

Mrema naye atema tete


Mzee wa Kiraracha naye alikuwapo. Hapa anawapa shule wakazi wa Mwanza walioketi chini kumsikiliza.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'