Sunday, September 02, 2007

Mbowe, Zitto watua Mwanza


Wamo katika helikopta hii inayokaribia kutua katika uwanja wa Mirongo, Mwanza, wakiwa na viongozi wengine wa upinzani wanaoandamana nao. Umati wa wananchi, unaishuhudia inavyotua kabla ya mkutano kuanza. (Picha zote kwa hisani ya Joseph Senga)

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'