Saturday, September 15, 2007


Wajumbe wakitoka ukumbini baada ya kutusikiliza tukitoa mada zetu. Alianza Ndesanjo Macha, akafuatia Daudi Were, baadaye mimi. Tazama ratiba.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'